Bobi Wine awabipu polisi Uganda, atangaza balaa lingine ‘siogopi, nitaeleza kila kitu jukwaani’

IF YOU ARE 18 YEARS CLICK BELOW TO WATCH AND DOWNLOAD FULL VIDEO

Friday, October 5, 2018

Bobi Wine awabipu polisi Uganda, atangaza balaa lingine ‘siogopi, nitaeleza kila kitu jukwaani’

Msanii wa muziki nchini Uganda ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Kyadondo, Bobi Wine amekuja na tamasha lake ambalo litakuwa ni la kihistoria. Tamasha hilo la kila mwaka linalojulikana kwa jina la Kyalenga, kwa mara ya kwanza litafanyika katika Uwanja wa Taifa wa mpira wa miguu nchini humo wa Namboole.
Share :
Facebook Twitter Google+

 

Back To Top